Mwanzo Maelezo kuhusu
ubalozi wa China
Habari Mpya za
ubalozi wa China
Habari kuhusu China Uhusiano kati ya
China na Tanzania
Huduma unazotoa
ubalozi wa China
中文 English Maelezo kuhusu ubalozi wa China Risala ya balozi Wasifu wa balozi Shughuli za balozi Ofisi za ubalozi Huduma unazotoa ubalozi wa China Saa za kazi Anuani yetu Visa ya China Maelezo mafupi kuhusu China Kumbukumbu Muhimu Uhusiano kati ya China na Tanzania Siasa Uchumi Elimu na Utamaduni Misaada ya China Mawasiliano kati ya China na Tanzania
Mwanzo > Habari Mpya za ubalozi wa China
  • Balozi Chen Mingjian Afanya Mkutano wa Waandishi wa Habari Kuhusu Azimio Namba 2758 la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (2025-05-16)
  • Balozi Chen Mingjian Akutana na Balozi wa Namibia Nchini Tanzania Lebbius Tangeni Tobias (2025-05-07)
  • Balozi Chen Mingjian Akutana na RC wa Mbeya Dk. Juma Homera (2025-05-01)
  • Balozi Chen Mingjian Atembelea Kampuni ya Tanzania katika EPZA (2025-04-26)
  • Balozi Chen Mingjian akutana na Mwakilishi wa Muda wa UNHCR nchini Tanzania Bwana Zulqarnain Hussain Anjum (2025-04-23)
  • Balozi Chen Mingjian achapisha Makala yake yenye Kichwa “Vikao Viwili vya China: Kufungua Dirisha la Fursa za Maendeleo kwa Tanzania na Dunia” katika Vyombo vya Habari vya Tanzania (2025-03-19)
  • Salamu za Mwaka Mpya 2025 za MHE. Balozi Chen Mingjian (2025-01-03)
  • Shindano la “Simulizi yangu ya China” la Picha na Video la China-Afrika laanza (2024-02-20)
  • Balozi Chen Mingjian: Maendeleo ya China kuleta mustakabali mzuri siku zijazo (2022-10-31)
  • Ubalozi wa China nchini Tanzania ulifanya Tafrija ya Mtandaoni kuadhimisha Miaka 73 ya Kuanzishwa kwa Jamhuri ya Watu wa China (2022-09-29)
  • Ubalozi wa China nchini Tanzania utafanya Tafrija Mtandaoni ya Kuadhimisha Miaka 73 ya Kuanzishwa kwa Jamhuri ya Watu wa China (2022-09-28)
  • Mahojiano kwa maandishi na MH. Chen Mingjian, Balozi wa China nchini Tanzania, kuhusu ziara ya Spika wa Baraza la Wawakilishi la US Nancy Pelosi Taiwan (2022-08-11)
  • Balozi Chen Mingjian anafanya mahojiano kwa maandishi na waandishi wa vyombo vya habari vya ndani (2022-07-22)
  • Vijana wa Kitanzania Waalikwa Kutazama Hafla ya “Ongea na Wanaanga” Mtandaoni na Kurekodi Video za Maswali (2022-07-09)
  • Balozi Chen Mingjian achangia makala kuhusu miaka mia moja ya kuzaliwa kwa Nyerere kwenye magazeti ya Tanzania (2022-04-14)
  • Balozi Chen Mingjian: Diplomasia ya China Inafuata Uelekeo Sahihi wa Historia (2022-03-22)
  • Mahojiano na Balozi wa China nchini Tanzania Mhe. Wang Ke juu ya Ziara ya Mjumbe wa Baraza la Taifa na Waziri wa Mambo ya nje Wang Yi nchini Tanzania (2021-01-22)
  • Sherehe ya 3 ya Utoaji Tuzo ya Balozi wa China 2020 Afanyika (2020-10-22)
  • Balozi Wang Ke: China huleta ujasiri na msukumo kwa ushirikiano wa kimataifa wa kupambana na COVID-19 (2020-06-10)
  • Ubalozi wa China nchini Tanzania wafanya sherehe za maombolezo na usafi wa makaburi (2020-04-04)
  • Taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu mlipuko wa COVID-19, 13 Februari (2020-02-14)
  • Taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu mlipuko wa COVID-19, 12 Februari (2020-02-12)
  • Taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vipya vya Corona, 10 Februari (2020-02-10)
  • CHINA NI RAFIKI WA KWELI WA TANZANIA (2019-08-26)
  • Udhalimu wa kibiashara unawaweka uchumi wa kimataifa hatarini, lakini hauwezi kurudisha nyuma ukuaji imara wa China (2019-06-22)
Tovuti zinazohusika
Belt and Road Portal Chinese Central Government Ministry of Foreign Affairs Ministry of National Defense Forum on China-Africa Cooperation Economic and Commercial Office of Chinese Embassy to Tanzania

中文 English Maelezo kuhusu ubalozi wa China Risala ya balozi Wasifu wa balozi Shughuli za balozi Ofisi za ubalozi Huduma unazotoa ubalozi wa China Saa za kazi Anuani yetu Visa ya China Maelezo mafupi kuhusu China Kumbukumbu Muhimu Uhusiano kati ya China na Tanzania Siasa Uchumi Elimu na Utamaduni Misaada ya China Mawasiliano kati ya China na Tanzania
Mwanzo > Habari Mpya za ubalozi wa China
Balozi Chen Mingjian Afanya Mkutano wa Waandishi wa Habari Kuhusu Azimio Namba 2758 la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
2025-05-16 23:11

Tarehe Mei 14, Balozi wa China nchini Tanzania H.E. Chen Mingjian alifanya mkutano wa waandishi wa habari wenye mada "Azimio Namba 2758 la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UM) Halina Pingamizi, na Kanuni ya China Moja Lazima Iteteweke." Vyombo 11 vya habari vya Tanzania na China, ikiwa ni pamoja na The Daily News, The Guardian, Tanzania Broadcasting Corporation, na Shirika la Habari la Xinhua, vilishiriki mkutano huo.

 

Balozi Chen alielezea muktadha wa kihistoria wa swali la Taiwan na kiini cha Azimio Namba 2758 la Baraza Kuu la UM, na alisisitiza kuwa Taiwan ni sehemu isiyeweza kutenganishwa ya eneo la China kutokana na mtazamo wa kihistoria, kisiasa na kisheria. Alikanusha upotoshaji na changamoto za makusudi kuhusu Azimio hilo kutoka kwa baadhi ya watu nchini Marekani, na alithamini sana msimamo thabiti wa Tanzania wa kufuata kanuni ya China moja. Pia, alitamani kuwa Tanzania itaendelea kukabilia kwa nguvu na aina yoyote ya "Uhuru wa Taiwan", kuunga sana juhudi zote za serikali ya China katika kufikia umoja wa taifa, na kushirikiana katika kulinda matokeo ya ushindi wa Vita Kuu vya Pili vya Kidunia.

 

Balozi Chen pia alijibu maswali kutoka kwa waandishi wa habari.

 


Appendix: