Mwanzo Maelezo kuhusu
ubalozi wa China
Habari Mpya za
ubalozi wa China
Habari kuhusu China Uhusiano kati ya
China na Tanzania
Huduma unazotoa
ubalozi wa China
中文 English Maelezo kuhusu ubalozi wa China Risala ya balozi Wasifu wa balozi Shughuli za balozi Ofisi za ubalozi Huduma unazotoa ubalozi wa China Saa za kazi Anuani yetu Visa ya China Maelezo mafupi kuhusu China Kumbukumbu Muhimu Uhusiano kati ya China na Tanzania Siasa Uchumi Elimu na Utamaduni Misaada ya China Mawasiliano kati ya China na Tanzania
Mwanzo > Rolling News Report
  • Sherehe ya 3 ya Utoaji Tuzo ya Balozi wa China 2020 Afanyika (2020-10-22)
  • Balozi Wang Ke: China huleta ujasiri na msukumo kwa ushirikiano wa kimataifa wa kupambana na COVID-19 (2020-06-10)
  • Ubalozi wa China nchini Tanzania wafanya sherehe za maombolezo na usafi wa makaburi (2020-04-04)
  • Taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu mlipuko wa COVID-19, 13 Februari (2020-02-14)
  • Taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu mlipuko wa COVID-19, 12 Februari (2020-02-12)
  • Taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vipya vya Corona, 10 Februari (2020-02-10)
  • Tangazo (2019-10-03)
  • CHINA NI RAFIKI WA KWELI WA TANZANIA (2019-08-26)
  • Udhalimu wa kibiashara unawaweka uchumi wa kimataifa hatarini, lakini hauwezi kurudisha nyuma ukuaji imara wa China (2019-06-22)
  • Ubalozi wa China nchini Tanzania, Ofisi ya Dodoma Yafunguliwa (2019-04-16)
  • Taarifa ya Kuongezwa kwa Muda wa Uwasilishaji wa shindano la Uandishi wa Insha "Kumbukumbu za Urafiki wa China na Tanzania" (2019-04-04)
  • Wanafunzi wa Tanzania Washinda Tuzo ya Kwanza ya Shindano la TEHAMA la Huawei Kusini mwa Jangwa la Sahara (2019-03-15)
  • Taarifa ya Mashindano ya Tuzo za Insha ya Urafiki wa China Na Tanzania (2019-02-04)
  • Balozi Wang Ke Ahudhuria Sherehe ya Kuweka Jiwe la Msingi kwenye Makazi ya Royal Glory Residence ya CCECC (2018-12-18)
  • Balozi Wang Ke akutana na Spika wa Bunge la Tanzania na Kundi la Wajumbe Wabunge Marafiki wa Tanzania na China (2018-11-13)
  • Ubalozi wa China na Serikali ya Tanzania ziliandaa kwa pamoja Safari ya Ukumbusho wa TAZARA kwa Vijana (2018-11-09)
  • JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU (2017-06-13)
  • Hotuba ya MHE. Balozi LU Youqing Katika "Sikukuu ya Spring yenye Furaha" ya Mwaka 2015 (2015-02-16)
  • Dr. Lu akutana na Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia wa Wizara wa Mambo ya Nje (2014-09-18)
  • Mazungumzo yafanywa kufunza Kichina Shuleni (2014-09-08)
  • Balozi wa China ampongeza JK (2014-07-29)
  • Dk. Salim kufundisha China (2014-07-04)
  • Dk Bilal aipongeza China (2014-07-04)
  • HOTUBA YA BW. HAULE WAKATI WA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI JUU YA MAFANIKIO YA ZIARA YA MHE. XI (2014-03-27)
  • Mchina Kamatwa kwa Kusafirisha Meno ya Tembo nchini China (2014-03-18)
Tovuti zinazohusika
Belt and Road Portal Chinese Central Government Ministry of Foreign Affairs Ministry of National Defense Forum on China-Africa Cooperation Economic and Commercial Office of Chinese Embassy to Tanzania

中文 English Maelezo kuhusu ubalozi wa China Risala ya balozi Wasifu wa balozi Shughuli za balozi Ofisi za ubalozi Huduma unazotoa ubalozi wa China Saa za kazi Anuani yetu Visa ya China Maelezo mafupi kuhusu China Kumbukumbu Muhimu Uhusiano kati ya China na Tanzania Siasa Uchumi Elimu na Utamaduni Misaada ya China Mawasiliano kati ya China na Tanzania
Mwanzo > Rolling News Report
Sherehe ya 3 ya Utoaji Tuzo ya Balozi wa China 2020 Afanyika
(2020.10.20)
2020-10-22 21:12

Oktoba 20, Sherehe ya 3 ya Utoaji Tuzo ya Balozi wa China 2020 ilifanyika katika Ubalozi wa China nchini Tanzania. Mhe. Wang Ke, Balozi wa China, DkT. Leonard Akwilapo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ya Tanzania, DkT Liuyan, Mkurugenzi wa Taasisi ya Confucius katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wawakilishi wa wanifunzi na walimu waliopewa tuzo kutoka Taasisi za Confucius nchini Tanzania, na waandishi wa habari walihudhuria hafla hiyo.

Balozi Wang aliwapongeza waliopewa tuzo, na akasema kuwa katika miaka ya hivi karibuni, mabadilishano ya kielimu kati ya China na Tanzania yameendelea kuongezeka, idadi ya wanaojifunza Kichina nchini Tanzania imekuwa ikiongezeka, kiwango cha ufundishaji Kichina nchini Tanzania kimeendelea kuboreshwa. Tangu mwisho wa Juni mwaka huu, shule na vyuo vikuu nchini Tanzania zimefungua tena, waalimu na wanafunzi wa Taasisi za Confucius wameshinda shida mbalimbali, na kufanya bidii kuzoea kazi na kusoma chini ya janga COVID19, na kupata matokeo mazuri. Hasa, John Magongew kutoka Shule ya Sekondari ya Ilboru ya Arusha alishika nafasi ya 30 bora ulimwenguni na 6 bora barani Afrika katika Mashindano ya Kichina kwa Wanafunzi wa shule za sekondari duniani yaliyofanyika hivi karibuni, ambalo ni ya kufurahisha. Ili kuwahimiza zaidi wanafunzi wa Tanzania na walimu wa Kichina wa ndani, ubalozi uliongezea idadi ya tuzo na kiwango cha tuzo mwaka huu, na kuwazawadia walimu wa hapa kwa mara ya kwanza. Inatarajiwa kuwa kazi ya Taasisi za Confucius nchini Tanzania itapate maendeleo mema zaidi, na wanafunzi wanaopenda Kichina watasoma kwa bidii zaidi na kupata fursa za kusoma China, na kuchangia kukuza ushirikiano na urafiki kati ya nchi hizi mbili, Balozi Wang alisema.

Kwa niaba ya Prof. Joyce Ndalichako, Waziri wa Elimu ambaye anashughulikia mambo ya uchaguzi, aliishukuru serikali ya China kwa juhudi zake zote za kuendeleza ushirikiano wa elimu kati ya China na Tanzania. Alisema kuwa Taasisi za Confucius nchini Tanzania zimekuza idadi kubwa ya vipaji vya lugha ya Kichina, na inafurahi kuona kwamba vyuo vikuu vya China pia vimefungua masomo ya Kiswahili, ambalo limekuwa na jukumu muhimu katika kukuza mawasiliano na uelewano kati ya watu wa China na Tanzania. Alitumia kuwa pande hizo mbili zitaendelea kukuza ushirikiano wa kirafiki kupitia ubadilishanaji wa lugha na anatumahi kuwa waalimu na wanafunzi waliopewa tuzo watafikia matarajio yao na kukuza kikamilifu ufundishaji na ujifunzaji Kichina katika shule na vyuo vikuu vya Tanzania, wakijitahidi kuwa wajumbe wa urafiki na ushirikiano kati ya nchi hizo mbili.

Mashana Glory na Imani Haji wanaowakilishi wanafunzi na walimu kupewa tuzo walishiriki hadithi zao kuhusu kujifunza Kichina kwenye hafla ya utoaji tuzo. Walisema kujifunza Kichina ni furaha na ya maana, na wanajivunia kujifunza lugha hii na kuelewa utamaduni wa China.

Mwaka huu, wanafunzi 115 na waalimu 7 wa Kichina kutoka Taasisi za Confucius katika UDSM na UDOM, Darasa la Confucius katika Chuo Kikuu cha Kiislamu na Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar, na Programu ya Kufundisha Lugha ya Kichina katika sekta ya elimu ya msingi nchini Tanzania walitunukiwa. TBC, Daily News, Guardian zimeripoti tukio hilo.

Appendix: